Sporty Magazine official website | Members area : Register | Sign in

Manchester United yamtengea Cristiano Ronaldo kitita hiki ili kumrudisha Old Trafford

Sunday, 15 March 2015

Share this history on :

kiatu

Klabu ya Manchester United imeanza mazungumzo na wakala wa  mchezaji Christiano Ronaldo anayeichezea Madrid kwa lengo la kumrudisha katika klabu yake hiyo ya zamani ya Old Trafford.

Kumekuwa na uvumi kuwa mchezaji huyo haridhishwi na maisha anayoishi katika klabu yake ya sasa ya Real Madrid na huenda safari yake ya kurudi Manchester United ikiwa kweli baada ya viongozi wa timu hiyo kuanza mazungunzo na bosi wake Jorge Mendes.
Kwa mujibu wa gazeti la Metro la Uingereza, United ina matumaini ya kumpata Ronaldo kwa kitita cha Euro millioni 100 ambazo ni sawa na pauni millioni 71.1.
Uhakika wa raia huyo wa Ureno kukubali kurudi Manchester United upo juu yake ,licha ya kuipenda klabu hiyo.

Manchester United yamtengea Cristiano Ronaldo kitita hiki ili kumrudisha Old Trafford

kiatuKlabu ya Manchester United imeanza mazungumzo na wakala wa  mchezaji Christiano Ronaldo anayeichezea Madrid kwa lengo la kumrudisha katika klabu yake hiyo ya zamani ya Old Trafford.
Kumekuwa na uvumi kuwa mchezaji huyo haridhishwi na maisha anayoishi katika klabu yake ya sasa ya Real Madrid na huenda safari yake ya kurudi Manchester United ikiwa kweli baada ya viongozi wa timu hiyo kuanza mazungunzo na bosi wake Jorge Mendes.
Kwa mujibu wa gazeti la Metro la Uingereza, United ina matumaini ya kumpata Ronaldo kwa kitita cha Euro millioni 100 ambazo ni sawa na pauni millioni 71.1.
Uhakika wa raia huyo wa Ureno kukubali kurudi Manchester United upo juu yake ,licha ya kuipenda klabu hiyo.
Thank you for visited me, Have a question ? Contact on : youremail@gmail.com.
Please leave your comment below. Thank you and hope you enjoyed...

0 comments:

Post a Comment