PICHA 8 ZA JUMBA LA KIFAHARI LA RAHEEM STERLING BAADA YA KUHAMA LIVERPOOL
Friday, 21 August 2015
Raheem ameamua kuhama moja kwa moja kutoka Liverpool na kuhamia Manchester baada ya kuhamia kwenye club hiyo. Sterling ameweka sokoni jumba lake la kifahari lenye thamani ya pount 1.5m maarufu kwa jina la Merseyside Mansion.
HII NDIO SABABU KUBWA YA KASEJA KUCHAGUA KUJIUNGA NA MBEYA CITY…
Bada ya mlinda mlango wa zamani wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Juma Kaseja kusaini mkataba wa miezi sita kujiunga na timu ya Mbeya City ya mkoani Mbeya, kipa huyo mkongwe ameweka wazi ni kwanini amejiunga na timu hiyo ya wagonga nyungo wa jiji la Mbeya wakati kulikuwa na vilabu vingi vikiiwinda saini yake.
Subscribe to:
Comments (Atom)