Kilabu ya Schalke toka ligi ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga imefanikiwa kumsajili rasmi Matija Nastasic baada ya kukaa naye kwa muda kidogo ndani ya timu hiyo.
Matija Nastasic (21) ambaye alikuwa kwa mkopo katika kilabi hiyo akitokea kwa
miamba wa soka nchini England Manchester City amemua kubakia katika ligi hiyo baada ya kusaini mkataba ambao utamuwezesha kukaa mpaka mwaka 2019.
“Najiona mwenye furaha zaidi kubaki hapa, nimekuwa sehemu ya timu pia” Alisema
0 comments:
Post a Comment