Sporty Magazine official website | Members area : Register | Sign in

Barcelona yasaka saini ya Mrithi wa Messi kutoka Kenya, Ni kinda wa miaka 17

Thursday, 26 February 2015

agegeMohamed Nyanje ‘Agege 10′ akimenyana na mabeki wa Academy ya Barcelona.
Na. Richard Bakana, Dar es salaam

Barcelona yamuenzi Tito Vilanova

Saturday, 21 February 2015

16

Klabu ya Barcelona ya nchini Hispania leo imebadili jina la uwanja wake wa mazoezi na kuupa jina la kocha wa zamani wa klabu hiyo Tito Vilanova aliyefariki Aprili mwaka jana kwa ugonjwa wa kansa ya koo.

Angalia mashabiki wa Fayernood walivyomwaga damu

11

Huyu ni moja kati ya mashabiki wa Fayernoord akivujwa na damu nyingi kichwani mara baada ya kupigwa na polisi huko Rome Italy kufuatia na vurugu kubwa kabla ya mchezo wao na wenyeji Rome

Mastaa waliokuwepo kwenye mechi kati ya PSG na Barca

There were a team-full of famous faces from politics, entertainment and sport in the stands to watch Paris St Germain beat Barcelona on Tuesday night

Steven Gerrard amuonya Ballotel kuwa hakuonesha heshima,Balotelli ajibu mapigo ya Gerrard

Friday, 20 February 2015

15

BALOTELLI AJIBU MAPIGO YA GERRARD

Bao pekee la mshambuliai mtukutu Mario Ballotel liliisaidia timu yake kuweza kuibuka na ushindi wa goli hilo moja dhidi ya wageni wao Besikitas katika round ya kwanza ya 32 bora Europa League, bao hilo lilipatikana mnamo dakika ya 85 kipindi cha pili kwa njia ya Penalt.

Rekodi 8 kubwa alizoweka Cristiano Ronaldo kwenye Champions League usiku wa jana

25CF680400000578-2959030-image-a-40_1424291046123

Real Madrid waliingiza mguu mmoja kwenye hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa wa ulaya jana usiku baada ya kupata ushindi wa magoli mawili kwa bila dhidi ya Schalke 04 mjini  Gelsenkirchen.

Fundi arejea tena Bayern

img-thiago-alcantara-bayern-munich-1377527075_620_400_crop_articles-172474
Thiago Alcantara amerejea tena mazoezini kujipanga vyema ili kuitumikia club yake ya Bayern Munich Mara baada ya kupotea uwanjani kwa takribani ya mwaka mzima sasa na kukaa nje huku akiugulia majeraha yake ya goti la kulia.