Sporty Magazine official website | Members area : Register | Sign in

Kingine usichokijua kuhusu maisha ya David Beckham…

Monday, 23 March 2015

becham

Mara nyingi mastaa mbalimbali wamekuwa wakiishi maisha ya kuwafanya waonekana vyema mbele ya mashabiki wao na hata wengine kuishi maisha ambayo si yao ili mradi wawe kivutio kwa mashabiki wao.

Ilivyokuwa pale Nou Camp jana.. Real Madrid VS Barcelona

Barca Fans

Mechi huwa na fleva ya aina yake wanapokutana Barcelona na Real Madrid, majina ya mastaa waliopo kwenye timu zote mbili huwa ni kivutio tosha kufanya mashabiki wa mpira kuufurahia mchezo.. Cristiano Ronaldo VS Lionel Messi.

Ratiba ya robo fainali Ligi ya mabingwa UEFA tayari iko mezani..

Friday, 20 March 2015

droo

Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) leo limekamilisha upangaji wa ratiba ya mechi za robo fainali ya ligi ya mabingwa iliyofanyika katika mji wa Nyon, Switzerland.

List ya wachezaji ambao Man City iko mbioni kuwaondoa kwenye kikosi cha timu hiyo

Thursday, 19 March 2015

yaya

Kipigo cha Manchester City dhidi ya Barcelona  cha bao 1-0 huenda kimekuwa moja ya sababu ya kocha mkuu wa timu hiyo Manuel Pellegrini kuamua kuwaondoa katika orodha yake baadhi ya wachezaji wa kikosi chake akiwemo Yaya Toure.

Manchester United yamtengea Cristiano Ronaldo kitita hiki ili kumrudisha Old Trafford

Sunday, 15 March 2015

kiatu

Klabu ya Manchester United imeanza mazungumzo na wakala wa  mchezaji Christiano Ronaldo anayeichezea Madrid kwa lengo la kumrudisha katika klabu yake hiyo ya zamani ya Old Trafford.

Nastasic akamilisha rasmi usaili wake na Schalke

Thursday, 12 March 2015

1426075961501Na Amplifaya Amplifaya
Kilabu ya Schalke toka ligi ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga imefanikiwa kumsajili rasmi Matija Nastasic baada ya kukaa naye kwa muda kidogo ndani ya timu hiyo.

Podolski atamani kurudi Arsenal


Internazionale Milano vs AC FiorentinaNa Augustino Mabalwe,Dar es salaam
Baada ya Lukas Podolski kushindwa kuonesha makali yake katika klabu ya Intermilan huko nchini Italia,mshambuliaji huyo amesema anataka kurejea katika klabu ya Arsenal ili aweze kuonesha uwezo wake baada ya hapo mwanzo kushindwa kung’ara.