Sporty Magazine official website | Members area : Register | Sign in

SADIO MANE HANA MPANGO WA KUHAMIA MANCHESTER UNITED

Monday, 24 August 2015

sadio

Ukizungumzia uhamisho kwa Manchester united hivi sasa jina linalotajwa sana Sadio Mane kutoka Southampton. Mchezaji huyu mwenye miaka 23 anapigiwa upatu wa kuhamia Old Trafford kwa gharama ya £15million.

MOURINHO AIPOTEZEA KADI NYEKUNDU YA TERRY

John-Terry
Jose Mourinho hakukubalina na maamuzi ya mwamuzi kumtoa nje kwa kadi nyekundu mlinzi na nahodha wa Chelsea John Terry kwenye mechi ya jana wakati Chelsea ilipocheza dhidi ya West Brom mchezo wa ligi kuu England, lakini Mourinho amesema kukata rufaa ni kupoteza muda.

PICHA 8 ZA JUMBA LA KIFAHARI LA RAHEEM STERLING BAADA YA KUHAMA LIVERPOOL

Friday, 21 August 2015

6594a8107584dd7da3293cc8b47e74ec_original
Raheem ameamua kuhama moja kwa moja kutoka Liverpool na kuhamia Manchester baada ya kuhamia kwenye club hiyo. Sterling ameweka sokoni jumba lake la kifahari lenye thamani ya pount 1.5m maarufu kwa jina la Merseyside Mansion.

SIRI YAFICHUKA: DAKTARI WA CHELSEA ALILALA NA MCHEZAJI.

DRDR
Baada ya wiki ngumu Stamford Bridge, Chelsea wakianza vibaya huku pia Jose Mourinho akimuondoa katika benchi, daktari Eva Carneiro kwa madai ya kupoteza muda kwa kumtibia Eden Hazard, sasa Ex-boyfriend wa daktari huyo amefunguka na kusema yaliyojiri.

KAMA KILICHOTOKEA WA PEDRO NA MAN UTD…HAWA NI WACHEZAJI 11 WALIDAKWA DAKIKA ZA MWISHO NA TIMU PINZANI

cover
Baada ya dili la Pedro kusajiliwa na Manchester kuharibiwa na Chelsea, imefanya nikumbuke jinsi gani hiki kitendo kuwa ni cha kawaida sana kwenye harakati za usajili hasa muda wa mwishoni kama huu.

HII NDIO SABABU KUBWA YA KASEJA KUCHAGUA KUJIUNGA NA MBEYA CITY…

kaseja
Bada ya mlinda mlango wa zamani wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Juma Kaseja kusaini mkataba wa miezi sita kujiunga na timu ya Mbeya City ya mkoani Mbeya, kipa huyo mkongwe ameweka wazi ni kwanini amejiunga na timu hiyo ya wagonga nyungo wa jiji la Mbeya wakati kulikuwa na vilabu vingi vikiiwinda saini yake.

CHELSEA YAIPIGA TOBO MANCHESTER…PEDRO KUSAINI NA CHELSEA MUDA WOWOTE

2B46703200000578-3203285-image-a-11_1439982383807
Katika kile kilichotafsiriwa kama ni Van Gaal kupigwa tobo na Jose Mourihno katika harakati za kumsajili Pedro, imekua ni habari ya kushtukiza sana kwa mashabiki wa Manchester

Kingine usichokijua kuhusu maisha ya David Beckham…

Monday, 23 March 2015

becham

Mara nyingi mastaa mbalimbali wamekuwa wakiishi maisha ya kuwafanya waonekana vyema mbele ya mashabiki wao na hata wengine kuishi maisha ambayo si yao ili mradi wawe kivutio kwa mashabiki wao.

Ilivyokuwa pale Nou Camp jana.. Real Madrid VS Barcelona

Barca Fans

Mechi huwa na fleva ya aina yake wanapokutana Barcelona na Real Madrid, majina ya mastaa waliopo kwenye timu zote mbili huwa ni kivutio tosha kufanya mashabiki wa mpira kuufurahia mchezo.. Cristiano Ronaldo VS Lionel Messi.

Ratiba ya robo fainali Ligi ya mabingwa UEFA tayari iko mezani..

Friday, 20 March 2015

droo

Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) leo limekamilisha upangaji wa ratiba ya mechi za robo fainali ya ligi ya mabingwa iliyofanyika katika mji wa Nyon, Switzerland.

List ya wachezaji ambao Man City iko mbioni kuwaondoa kwenye kikosi cha timu hiyo

Thursday, 19 March 2015

yaya

Kipigo cha Manchester City dhidi ya Barcelona  cha bao 1-0 huenda kimekuwa moja ya sababu ya kocha mkuu wa timu hiyo Manuel Pellegrini kuamua kuwaondoa katika orodha yake baadhi ya wachezaji wa kikosi chake akiwemo Yaya Toure.

Manchester United yamtengea Cristiano Ronaldo kitita hiki ili kumrudisha Old Trafford

Sunday, 15 March 2015

kiatu

Klabu ya Manchester United imeanza mazungumzo na wakala wa  mchezaji Christiano Ronaldo anayeichezea Madrid kwa lengo la kumrudisha katika klabu yake hiyo ya zamani ya Old Trafford.

Nastasic akamilisha rasmi usaili wake na Schalke

Thursday, 12 March 2015

1426075961501Na Amplifaya Amplifaya
Kilabu ya Schalke toka ligi ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga imefanikiwa kumsajili rasmi Matija Nastasic baada ya kukaa naye kwa muda kidogo ndani ya timu hiyo.

Podolski atamani kurudi Arsenal


Internazionale Milano vs AC FiorentinaNa Augustino Mabalwe,Dar es salaam
Baada ya Lukas Podolski kushindwa kuonesha makali yake katika klabu ya Intermilan huko nchini Italia,mshambuliaji huyo amesema anataka kurejea katika klabu ya Arsenal ili aweze kuonesha uwezo wake baada ya hapo mwanzo kushindwa kung’ara.

Barcelona yasaka saini ya Mrithi wa Messi kutoka Kenya, Ni kinda wa miaka 17

Thursday, 26 February 2015

agegeMohamed Nyanje ‘Agege 10′ akimenyana na mabeki wa Academy ya Barcelona.
Na. Richard Bakana, Dar es salaam

Barcelona yamuenzi Tito Vilanova

Saturday, 21 February 2015

16

Klabu ya Barcelona ya nchini Hispania leo imebadili jina la uwanja wake wa mazoezi na kuupa jina la kocha wa zamani wa klabu hiyo Tito Vilanova aliyefariki Aprili mwaka jana kwa ugonjwa wa kansa ya koo.

Angalia mashabiki wa Fayernood walivyomwaga damu

11

Huyu ni moja kati ya mashabiki wa Fayernoord akivujwa na damu nyingi kichwani mara baada ya kupigwa na polisi huko Rome Italy kufuatia na vurugu kubwa kabla ya mchezo wao na wenyeji Rome

Mastaa waliokuwepo kwenye mechi kati ya PSG na Barca

There were a team-full of famous faces from politics, entertainment and sport in the stands to watch Paris St Germain beat Barcelona on Tuesday night

Steven Gerrard amuonya Ballotel kuwa hakuonesha heshima,Balotelli ajibu mapigo ya Gerrard

Friday, 20 February 2015

15

BALOTELLI AJIBU MAPIGO YA GERRARD

Bao pekee la mshambuliai mtukutu Mario Ballotel liliisaidia timu yake kuweza kuibuka na ushindi wa goli hilo moja dhidi ya wageni wao Besikitas katika round ya kwanza ya 32 bora Europa League, bao hilo lilipatikana mnamo dakika ya 85 kipindi cha pili kwa njia ya Penalt.

Rekodi 8 kubwa alizoweka Cristiano Ronaldo kwenye Champions League usiku wa jana

25CF680400000578-2959030-image-a-40_1424291046123

Real Madrid waliingiza mguu mmoja kwenye hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa wa ulaya jana usiku baada ya kupata ushindi wa magoli mawili kwa bila dhidi ya Schalke 04 mjini  Gelsenkirchen.

Fundi arejea tena Bayern

img-thiago-alcantara-bayern-munich-1377527075_620_400_crop_articles-172474
Thiago Alcantara amerejea tena mazoezini kujipanga vyema ili kuitumikia club yake ya Bayern Munich Mara baada ya kupotea uwanjani kwa takribani ya mwaka mzima sasa na kukaa nje huku akiugulia majeraha yake ya goti la kulia.