PICHA 8 ZA JUMBA LA KIFAHARI LA RAHEEM STERLING BAADA YA KUHAMA LIVERPOOL
Friday, 21 August 2015
Raheem ameamua kuhama moja kwa moja kutoka Liverpool na kuhamia Manchester baada ya kuhamia kwenye club hiyo. Sterling ameweka sokoni jumba lake la kifahari lenye thamani ya pount 1.5m maarufu kwa jina la Merseyside Mansion.
HII NDIO SABABU KUBWA YA KASEJA KUCHAGUA KUJIUNGA NA MBEYA CITY…
Bada ya mlinda mlango wa zamani wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Juma Kaseja kusaini mkataba wa miezi sita kujiunga na timu ya Mbeya City ya mkoani Mbeya, kipa huyo mkongwe ameweka wazi ni kwanini amejiunga na timu hiyo ya wagonga nyungo wa jiji la Mbeya wakati kulikuwa na vilabu vingi vikiiwinda saini yake.
Kingine usichokijua kuhusu maisha ya David Beckham…
Monday, 23 March 2015
Mara nyingi mastaa mbalimbali wamekuwa wakiishi maisha ya kuwafanya waonekana vyema mbele ya mashabiki wao na hata wengine kuishi maisha ambayo si yao ili mradi wawe kivutio kwa mashabiki wao.
Labels:
PLAYERS
Ilivyokuwa pale Nou Camp jana.. Real Madrid VS Barcelona
Mechi huwa na fleva ya aina yake wanapokutana Barcelona na Real Madrid, majina ya mastaa waliopo kwenye timu zote mbili huwa ni kivutio tosha kufanya mashabiki wa mpira kuufurahia mchezo.. Cristiano Ronaldo VS Lionel Messi.
Labels:
LA LIGA
Ratiba ya robo fainali Ligi ya mabingwa UEFA tayari iko mezani..
Friday, 20 March 2015
Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) leo limekamilisha upangaji wa ratiba ya mechi za robo fainali ya ligi ya mabingwa iliyofanyika katika mji wa Nyon, Switzerland.
Labels:
UEFA
List ya wachezaji ambao Man City iko mbioni kuwaondoa kwenye kikosi cha timu hiyo
Thursday, 19 March 2015
Kipigo cha Manchester City dhidi ya Barcelona cha bao 1-0 huenda kimekuwa moja ya sababu ya kocha mkuu wa timu hiyo Manuel Pellegrini kuamua kuwaondoa katika orodha yake baadhi ya wachezaji wa kikosi chake akiwemo Yaya Toure.
Labels:
KIMATAIFA
Manchester United yamtengea Cristiano Ronaldo kitita hiki ili kumrudisha Old Trafford
Sunday, 15 March 2015
Klabu ya Manchester United imeanza mazungumzo na wakala wa mchezaji Christiano Ronaldo anayeichezea Madrid kwa lengo la kumrudisha katika klabu yake hiyo ya zamani ya Old Trafford.
Labels:
KIMATAIFA
Barcelona yasaka saini ya Mrithi wa Messi kutoka Kenya, Ni kinda wa miaka 17
Thursday, 26 February 2015
Labels:
KIMATAIFA
Barcelona yamuenzi Tito Vilanova
Saturday, 21 February 2015
Klabu ya Barcelona ya nchini Hispania leo imebadili jina la uwanja wake wa mazoezi na kuupa jina la kocha wa zamani wa klabu hiyo Tito Vilanova aliyefariki Aprili mwaka jana kwa ugonjwa wa kansa ya koo.
Labels:
KIMATAIFA
Angalia mashabiki wa Fayernood walivyomwaga damu
Huyu ni moja kati ya mashabiki wa Fayernoord akivujwa na damu nyingi kichwani mara baada ya kupigwa na polisi huko Rome Italy kufuatia na vurugu kubwa kabla ya mchezo wao na wenyeji Rome
Labels:
KIMATAIFA
Steven Gerrard amuonya Ballotel kuwa hakuonesha heshima,Balotelli ajibu mapigo ya Gerrard
Friday, 20 February 2015
BALOTELLI AJIBU MAPIGO YA GERRARD
Bao pekee la mshambuliai mtukutu Mario Ballotel liliisaidia timu yake kuweza kuibuka na ushindi wa goli hilo moja dhidi ya wageni wao Besikitas katika round ya kwanza ya 32 bora Europa League, bao hilo lilipatikana mnamo dakika ya 85 kipindi cha pili kwa njia ya Penalt.
Labels:
KIMATAIFA
Rekodi 8 kubwa alizoweka Cristiano Ronaldo kwenye Champions League usiku wa jana
Real Madrid waliingiza mguu mmoja kwenye hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa wa ulaya jana usiku baada ya kupata ushindi wa magoli mawili kwa bila dhidi ya Schalke 04 mjini Gelsenkirchen.
Labels:
KIMATAIFA
Subscribe to:
Comments (Atom)